Wednesday, September 5, 2012

UFADHILI

Tacaids kuacha kuwategemea wafadhili: TUME ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS ) inakusudia kuanzisha mfuko maalumu kwa ajili ya kuhudumia afya mbalimbali za Ukimwi ili kuondokana na utegemezi wa fedha za wafadhili na wahisani kutoka nje kwa ajili ya kuhudumia jambo hilo.

No comments: