Monday, August 20, 2012

UMOJA WA MATAIFA

KUKUZA HAKI ZA BINADAMU


Tangu Baraza kuu lilipokubali. Haki za Binadamu Ulimwenguni miaka 1948, Umoja Wa

Mataifa umesaidia kufanya mikataba ya haki za kisiasa, kiraia, kiuchumi, kijamii na

kitamaduni, kuwa sheria shirika la UN la Haki za binadamu limefanya uchunguzi wa

malalamiko ya kibinafsi ya kesi ya mateso ulimwenguni, Kupotea na kuwekwa kizuizini

bila sababu na kufaulu kuhimiza serikali ulimenguni kuimarisha na kuboresha rekodi zao

za Haki za kibinadamu.

No comments: