Monday, August 20, 2012

KUHUSU UBAGUZI....

Mtu yeyoye atakayekiuka sheria na


kufanya vitendo vya kibaguzi au unyanyapaa kama

vilivyokatazwa na sheria atakuwa amefanya kosa

kwa mujibu wa kifungu cha 32 cha sheria hii na

akipatikana na hatia atatozwa faini isiyopungua

shilingi za Tanzania milioni mbili au kifungo kisichozidi

mwaka mmoja au vyote kwa pamoja.

No comments: